Ticker

6/recent/ticker-posts

MAKAMU WA RAIS DKT.MPANGO AWASILI JIJINI BUDAPEST NCHINI HUNGARY

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Budapest nchini Hungary leo tarehe 13 Septemba 2023. Makamu wa Rais anatarajia kumwalikisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Jukwaa la Tano kuhusu Idadi ya Watu (5th Budapest Demographic Summit) litakalofanyika tarehe 14-15 Septemba 2023.




Post a Comment

0 Comments